loading...

HIGHLIGHTS

NEWS & EVENTS

loading...
Jul 31, 2023

.Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande  amesema safari ya mabadiliko ndani ya shirika hilo ilianza kwa kujipanga ikiwemo kwenda kila mkoa ili kujua changamoto za wananchi.

Chande amesema hayo leo Jumatatu Julai 31,...
Read More

loading...
Jul 31, 2023

Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema mabadiliko ya katika taasisi za umma hayaepupikiki ilia kuleta ufanisi, akisema Shirika la Umeme la Tanzania (Tanesco), limeonyesha mfano katika mchakato huo.

Amesema Rais Samia Suluhu Hassan anataka mageuzi ya kila...
Read More

loading...
Jul 31, 2023

[18:28, 31/07/2023] Neema Mbuja: Waziri wa Nishati, January Makamba ameeeleza namna alivyompata Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande akisema alimfanyia usahili wa muda mfupi kabla ya kupendekeza jina lake kwa Rais Samia  Suluhu Hassan...
Read More

Showing 1-3 of 5 items.

FAQs

SURVEY

Customer Survey

Click here to take our

CUSTOMER SATISFACTION SURVEY