Kampuni tanzu za Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Zijulikanazo kama TGDC na TCPM leo Julai 29,2022 zimetambulisha bodi zao mpya za uongozi zitakazosaidia kuongeza ufanisi na utelekezaji wa majukumu mbalimbali ya kampuni hizo ili kuongeza tija kwa shirika.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa ameeleza kufurahishwa na maonesho ya siku tatu ya Wizira ya Nishati na taasisi zake yaliyofanyika katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma kuanzia Mei 23 hadi 25, 2022
Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba leo Mei 19, 2022 ameshiriki ziara ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Samia Suluhu Hassan Mkoani Tabora ambapo amewahakikishia wananchi kuimarika kwa hali ya upatikanaji wa umeme nchini kupitia uwekezaji wa miradi ya umeme inayoendelea.
Mwenye nyumba yangu anatutoza bei ya umeme kubwa zaidi kuliko TANESCO, nifanye nini? +
Wateja wanapaswa kulipa bei ile ile ambayo shirika linatoza,hakuna anaruhusiwa kuuza umeme bila kibali cha mamlaka zinazohusika.Aidha wateja wanashauriwa kuhakikisha
Inategemea, endapo taarifa mteja aliyotoa itapelekea kukamatwa kwa mtuhumiwa na kudhihirika kuwa anaiba umeme, shirika litafanya hesabu na kubainisha kiasi