Na Constantine James
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, Januari 28, 2026 alifungua rasmi kikao kazi cha Waandishi Waendesha Ofisi wa TANESCO kilichofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Midland, Jijini Dodoma.
Akifungua kikao...
Read More