Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango ametembelea banda la TANESCO katika kongamano la miundombinu Afrika (FIDIC) linalofanyika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC), Dar es Salaam.
Read More
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango ametembelea banda la TANESCO katika kongamano la miundombinu Afrika (FIDIC) linalofanyika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC), Dar es Salaam.
Si kila majanga ya Moto chanzo chake ni nishati ya umeme wa TANESCO fungua usikilize elimu hii muhimu itakusaidia kupunguza uwezekano wa kutokea majanga ya moto yanayoweza kuzuilika!!
Hakikisha mita ya kwanza haina deni au haikuchezewa. Fika ofisi za TANESCO na kitambulisho utapatiwa fomu hakikisha unakuja na namba ya mita ya mwanzo. Baada... Read More
Jina halisi ni CIU na sio king’amuzi au remote,mteja anayeibiwa au kupoteza CIU anapaswa kutoa taarifa kituo cha polisi ili kupatiwa loss report... Read More
Click here to take our
CUSTOMER SATISFACTION SURVEY