TANESCO NI KWA MARA NYINGINE TENA: Imeshinda tuzo ya Ukurasa Bora wa Serikali wa Mwaka (mitandao ya kijamii) kutoka Tanzania Digital Awards. Asante kwa kura yako na kwa kuendelea kufuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii.
Read More
TANESCO NI KWA MARA NYINGINE TENA: Imeshinda tuzo ya Ukurasa Bora wa Serikali wa Mwaka (mitandao ya kijamii) kutoka Tanzania Digital Awards. Asante kwa kura yako na kwa kuendelea kufuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii.
Kazi kubwa inafanyika kwenye utekelezaji wa Miradi tazama hapa Mkurugenzi Mtendaji Mha Gissima Nyamo-Hanga alipofanya ziara ya ukaguzi wa vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme vya Urambo na Nguruka tarehe 22/05/2024 aridhishwa na kasi kubwa ya ujenzi...
Read More
Tazama jinsi Kazi ya ujenzi wa Mradi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme Kidahwe mkoani Kigoma inaendelea na ikikamilika itasaidia kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme katika Mkoa wa Kigoma na maeneo jirani Mha Gissima amekutana na...
Read More
Hakikisha mita ya kwanza haina deni au haikuchezewa. Fika ofisi za TANESCO na kitambulisho utapatiwa fomu hakikisha unakuja na namba ya mita ya mwanzo. Baada... Read More
Jina halisi ni CIU na sio king’amuzi au remote,mteja anayeibiwa au kupoteza CIU anapaswa kutoa taarifa kituo cha polisi ili kupatiwa loss report... Read More
Click here to take our
CUSTOMER SATISFACTION SURVEY