ANNOUNCEMENTS:

HIGHLIGHTS

NEWS & EVENTS

loading...
Jun 15, 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema tayari mtambo namba nane kutoka kwenye Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere umekamilika na sasa unaingiza megawati 235 kwenye gridi ya taifa.

Dkt Biteko ametoa...
Read More

loading...
Jun 15, 2024

Kuhusu sekta binafsi amesema, “Sekta binafsi imetutoa kimasomaso, Serikali haiwezi kufanya kila kitu, wamefanya kazi kubwa mno kwenye mafuta, gesi na hata kwenye uzalishaji umeme, wito wangu kwenu msibaki nyuma changamkieni fursa, na kwa taasisi zilizo chini ya...
Read More

loading...
Jun 15, 2024

Akitoa taarifa za utendaji katika Sekta ya Nishati, Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt. James Andilile alisema kuwa Sekta ya Nishati inaendelea kuimarika ikiwemo uwekezaji kwenye miundombinu ya
umeme uwekezaji umeongezeka katika uzalishaji, usafirishaji na usambazaji, upotevu wa...
Read More

Showing 1-3 of 56 items.

FAQs

SURVEY

Customer Survey

Click here to take our

CUSTOMER SATISFACTION SURVEY